Ni wangapi inapokuwa ni kuchangia maendeleo ya nchi yetu na watu tunajitokeza kwa bidii kama wafanyavyo Vodacom??
Lakini, angalia inapokuwa ni Tamasha fulani teh teh teh tunajitokeza kwa wingi hata pa kugeuka hakuna loh.Japo vyote muhimu lakini, Kipi tunapaswa kukipa kipaumbele jamani?
LIGI MBALIMBALI ZA PESA KUENDELEA LEO
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako