Ni wangapi inapokuwa ni kuchangia maendeleo ya nchi yetu na watu tunajitokeza kwa bidii kama wafanyavyo Vodacom?? Lakini, angalia inapokuwa ni Tamasha fulani teh teh teh tunajitokeza kwa wingi hata pa kugeuka hakuna loh.Japo vyote muhimu lakini, Kipi tunapaswa kukipa kipaumbele jamani?
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!
No comments:
Post a Comment
Maoni yako