
Thursday, 30 April 2009
MABOMU YALIPUKA GHALA LA SILAHA LA JESHI MBAGALA
Wednesday, 29 April 2009
Monday, 27 April 2009
YA KALE NA YA SASA
Katika mfululizo huu ninawaletea picha za fedha za nyumbani Tanzania katika nyakati tofauti tofauti za uongozi tangu zamani hadi sasa. Hii ni katika kujikumbusha tu fedha tulizowahi kutumia.
Picha zote kwa hisani ya www.banknotesinfo.com/Tanzania
Shilingi Elfu Kumi hadi sasa

Shilingi Elfu Kumi wakati wa Mwinyi

Shilingi 5000-hadi sasa

Shilingi Elfu Tano wakati wa Mkapa

Shilingi Elfu Tano wakati wa Mwinyi


Shilingi 2000-hadi sasa

Shilingi 1000-hadi sasa

Shilingi 1000-Mkapa

Shilingi 1000-Mwinyi

Shilingi 1000-Nyerere

Shilingi 500 toka wakati wa Mhe.Mkapa hadi sasa

Shilingi 500 wakati wa Alhaji Mwinyi

Shilingi 200 wakati wa Alhaji Mwinyi


Shilingi 100 nyakati za mwanzo za Nyerere




Shilingi 50 wakati wa Mwinyi

Shilingi Hamsini wakati wa Nyerere


Shilingi 20 wakati wa Mwinyi

Shilingi 20 wakati wa Nyerere




Shilingi 10 wakati wa Nyerere

Shilingi 5 nyakati za mwanzo wa Nyerere

Picha zote kwa hisani ya www.banknotesinfo.com/Tanzania
Shilingi Elfu Kumi hadi sasa

Shilingi Elfu Kumi wakati wa Mwinyi

Shilingi 5000-hadi sasa

Shilingi Elfu Tano wakati wa Mkapa




Shilingi 2000-hadi sasa

Shilingi 1000-hadi sasa

Shilingi 1000-Mkapa

Shilingi 1000-Mwinyi

Shilingi 1000-Nyerere

Shilingi 500 toka wakati wa Mhe.Mkapa hadi sasa

Shilingi 500 wakati wa Alhaji Mwinyi

Shilingi 200 wakati wa Alhaji Mwinyi


Shilingi 100 nyakati za mwanzo za Nyerere




Shilingi 50 wakati wa Mwinyi

Shilingi Hamsini wakati wa Nyerere


Shilingi 20 wakati wa Mwinyi

Shilingi 20 wakati wa Nyerere




Shilingi 10 wakati wa Nyerere

Shilingi 5 nyakati za mwanzo wa Nyerere


UCHOCHORO WA KWENDA NYUMBANI
Sunday, 26 April 2009
YALE YALE!
MUUNGANO DAY
Saturday, 25 April 2009
KAZI NI KAZI


Wakati hali ya maisha inazidi kuwa ngumu,baadhi ya watu wanaendelea kujiwajibisha ili kujikimu kimaisha, lakini wengine wanaona bora wakae barabarani na kuomba msaada kwa wapita njia. Yaani ni kama vile huyu kaka anayewajibika kupasua mawe kupata kokoto anapoziuza, akiwa anarudi nyumbani apitie hapo alipokaa huyu mama ombaomba ampatie kiasi kidogo, hii si sawa jamani. Tuendelee kuwajibika tu maisha yataboreka.
"DON'T JUST SIT THERE, DO SOMETHING" lakini hiyo "SOMETHING" isiwe kuombaomba
Friday, 24 April 2009
Tuesday, 21 April 2009
UMASKINI ULIOPITILIZA
Subscribe to:
Posts (Atom)