Sunday 31 January 2016

WAZIRI MKUU MHE:MAJALIWA KASSIM AHUDHURIA IBADA ZA KUMWINGIZA KAZINI ASKOFU WA KKKT MHE: DK:SHOO MJINI MOSHI

Mhe Waziri Mkuu akitoa hotuba fupi katika Hafla hiyo
Mhe Waziri Mkuu akipokea yawadi ya picha kutoka kwa Askofu Fredrick Shoo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Frederick Shoo (kulia) na Askofu Mkuu wa KKKT Mstaafu Alex Malasusa baada ya ibada ya kumuingiza kazini Askofu Shoo iliyofanyika kwenye Kanisa Kuu la KKKT mjini Moshi Januari 31, 2016.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako