Tuesday 19 January 2016

KAMPUNI YA KONYAGI YAFANYA TAMASHA LA KUONJA WINE INAZOTENGENEZA

Kampuni ya Konyagi ambayo ni kampuni tanzu ya TBL Group hivi karibuni iliandaa tamasha la kuonja vinywaji vya wine vinavyotengenezwa na kampuni hiyo yenye makao makuu yake jijini Dar es Salaam.
Tamasha hilo lilolofanyika katika hoteli ya Southern Sun jijini Dar es Salaam lilikuwa kivutio kwa watu wengi na walouhudhuria kwani walipata burudani za kila aina na kufurahia ubora wa vinywaji vya kampuni hiyo bila kusahau kucheza muziki,kupata maakuli na kujishindia zawadi mbalimbali.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako