Saturday 16 January 2016

MEYA WAPYA KINONDONI NA ILALA DAR WAPATIKANA

Wafuasi wa Ukawa wakimpongeza Boniface Jacob (aliyesimama mbele) baada ya kushinda umeya wa Kinondoni.
Hatimaye leo uchaguzi wa meya wa halmashauri wa Kinondoni jijini Dar es Salaam umefanyika ambapo diwani wa Ubungo kutoka UKAWA, Boniface Jacob (CHADEMA) amekuwa meya na na Naibu Meya ni diwani wa Tandale, Jumanne Amir Mbunju (CUF).
Katika uchaguzi huo, Chadema kilipata kura 38 na CCM kura 20 ambapo katika unaibu meya Cuf kilipata kura 38 na CCM kura 20
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob (katikati) akiongoza sala ya kufungua mkutano wa kwanza baada ya uchaguzi wa kumchagua Meya na Naibu Meya wa manispaa hiyo
Meya Mpya wa Manispaa ya Ilala mhe. Charles Kwiyeko (UKAWA)
Naibu Meya wa Ilala Mhe.Omary Salum Kumbilamoto (UKAWA)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako