Thursday 21 January 2016

ADHA YA MVUA JIJINI DAR

MFANYAKAZI: samahani Boss leo sitaweza kuja kazini maana ninapoishi maji yamejaa kila mahala hakuna pa kupita. Nipo kama kisiwani hapa.
BOSS: Nakumbuka ulipokuwa unaomba kazi uliorodhesha moja ya vitu unavyopendelea (Hobby) ni kuogelea. "Tukutane kazini"
Hakuna namna itabidi kutumia mbinu hii kufika kazini. Umesahau kauli mbiu ni "HAPA KAZI TU"

No comments:

Post a Comment

Maoni yako