Saturday 29 January 2011

MATOKEO KIDATO CHA NNE 2010

TUMECHOKA KUGONGWA NA MAGARI


Mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Oysterbay,Dar es Salaam, Rashid Omary, akisimamisha magari ili wanafunzi wenzake wavuke katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la Oysterbay. Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani,Mohamend Mpinga ameuzindua mfumo huo wa wanafunzi kujivusha wenyewe.Picha na Hassan Mndeme wa Jeshi la Polisi