Ni wikiendi, ni wakati wa kupumzika na kupata burudani. Mbwana Samatta ametupa wikiendi murua Watanzania. Ametuletea heshima kubwa. Msanii hapa anaweka pia angalizo, kuwa kwenye furaha na burudani hii aliyotuletea Samatta, kuna wenye matarajio mengine kutoka kwake...
WMA YAENDESHA ZOEZI LA UHAKIKI MITA ZA UMEME VIWANDANI
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako