Saturday 30 January 2016

HONGERA KAKA MJENGWA WA MJENGWA BLOG KWA KUSHIRIKI MARATHONI DODOMA

Kukamilisha kilomita 21.1. Milima ya kwetu Iringa iliniweka kwenye form nzuri kuikabili tambarare ya Dodoma.
Pichani nikimalizia mita 100 za mwisho, na kiukweli hata zingeongezwa kilomita kumi nyingine ningezimaliza. Ahsante kwa milima ya kwetu!
Najipanga sasa kuukabili Mlima Kilimanjaro mwezi Juni mwaka huu. Nataka kuhamasisha Watanzania wa Nyumbani Na Diaspora kuutangaza mlima huu mrefu kuliko yote Afrika sambamba na kuutetea theluji yake isije ikayeyuka kutokana na Mabadiliko ya Tabia Nchi ikiwamo uharibifu wa mazingira yanayouzunguka mlima huo.
Viongozi wengine walioshiriki

No comments:

Post a Comment

Maoni yako