Monday 18 January 2016

TANZIA: MWANDISHI WA KITABU CHA NGOSWE

mwandishi, muigizaji na mhadhiri wa chuo kikuu cha Daresalaam na mwenyekiti wa chama cha waandishi wa vitabu nchini (UWAVITA ), Edwin Semzaba. amefariki dunia jana jijini Dar es Salaam

Moja kati ya kazi alizofanya enzi ya uhai wake ni kitabu cha "Ngoswe Penzi kitovu cha uzembe".
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amen

No comments:

Post a Comment

Maoni yako