mwandishi, muigizaji na mhadhiri wa chuo kikuu cha Daresalaam na mwenyekiti wa chama cha waandishi wa vitabu nchini (UWAVITA ), Edwin Semzaba. amefariki dunia jana jijini Dar es Salaam
Moja kati ya kazi alizofanya enzi ya uhai wake ni kitabu cha "Ngoswe Penzi kitovu cha uzembe".
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amen
WMA YAENDESHA ZOEZI LA UHAKIKI MITA ZA UMEME VIWANDANI
32 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako