Saturday 19 September 2009

SAFARINI

Kumradhi wadau, nilipata safari ya ghafla kuelekea Kijijini kwa Bibi na Babu kuhani msiba wa Baba yangu mzazi, na mtandao huku hakuna kabisa. Muda mfupi ujao nitarudi na kuwaletea yaliyojiri.
Salaam kutoka Kijijini

Tuesday 1 September 2009

KOMOA UKOMOLEWE ! au BILA BILA!

KARIBU DAR ES SALAAM ZOO

Watanzania wenzangu,kumbe kuna fahari yetu imejisimika ndani ya DAR ES SALAAM ZOO, tujongee tukajionee wenyewe kama kwenda Serengeti au Ngorongoro ni Mbali, basi hapa patakidhi haja yako.
Taarifa hizi ni kwa hisani ya:
www.daressalaamzoo.com na Michuzi