Sunday 3 January 2016

JUMBA LA MCHUNGAJI LWAKATARE KATIKA MSUKOSUKO WA ALAMA X

Mchungaji a Kanisa la Assemblies of God,Mikocheni, Dr Getrude Lwakatare amepinga nyumba yake kubomolewa ikiwa ni siku chache baada ya wizara ya maliasili na utalii kupitia wakala wa misitu Tanzania (TFS ), kuweka alama ya X wakidai imo katika hifadhi ya bahari.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako