Monday 19 March 2012

HUKU TUTATOKA LINI




Hata baada ya miaka 50 ya UHURU, hali ya watanzania walio wengi bado ipo chini sana. Watu wanaishi kwa tabu sana hadi wamezoea hali hiyo na kufanya ya kawaida katika mtindo wa maisha sasa. Lakini kwakweli hapana, tutoke huku, Swali ni "Tutatoka vipi?"

HODI TENA WADAU


Baada ya muda mrefu wa kuhadimika kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo, nawakaribisha tena wadau katika blog hii. Kwa sasa nipo nyumbani kabisa Tanzania japo muda si mrefu tena nitarudi kwa Bibi. Hivyo kwa sasa nitakuwa nawaletea "LIVE". Karibuni sana na poleni kwa kuimiss blog yenu pendwa.