Thursday 21 January 2016

DKT.MAGUFULI: RAIS WA MANENO NA VITENDO

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akionesha umahiri wake wa kutumia Cherahani na kushona nguo za wafanyakazi wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kuvifahamu vitengo mbalimbali vya Ikulu jijini Dar es salaam Januari 20, 2016

No comments:

Post a Comment

Maoni yako