Wednesday 27 January 2016

FUJO TENA BUNGENI DODOMA

Askari wa FFU walipoingia bungeni leo kuwatuliza Wabunge wa Upinzani waliokuja juu kupinga kusimamishwa kwa matangazo ya TBC live from Bungeni

HAYO YALITOKEA BAADA YA MHE WAZIRI NAPE MNAUYE KUSEMA HAYA:
"Kutokana na ufinyu wa bajeti Serikali imenuia kuzuia vipindi vya bunge kurushwa Live na Televisheni ya Taifa (TBC) isipokuwa vipindi vya maswali na majibu tu. Vipindi vingine vitarekodiwa na kurushwa kwa marudio kuanzia saa 4 usiku."- Waziri wa Habari Nape Mosses Nnauye.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako