Sunday 12 December 2010

"BRAVO" KILIMANJARO STARS

Timu ya Taifa ya Tanzania (kilimanjaro Stars) imenyakua Kombe la CECAFA Tusker Challenge jioni hii katika Uwanja wa Taifa ilipochuana chidi ya Timu ya Ivory Cost
Kilimanjaro Stars

Timy ya Ivory Cost

Wednesday 22 September 2010

Tuesday 21 September 2010

MAMBO HAYO

Kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais , wabunge na madiwani yasemekana maisha yamepinga na kunyong'onyea kama kiatu hiki. Ya kweli hayooooo Ila kwa upande mwingine wa shilingi, watu wanazidi kujazia (tazama picha)

Monday 13 September 2010

BLUE MONDAY


Ni wiki imeanza baada ya pilikapilika za Eid el Fitr na mapumziko marefu ya mwisho wa juma la sikukuu. Tayari katika sehemu mbalimbali za Jiji la Dar watu ni busy. Dada huyu anaonekana akitafuta maji kwa matumizi ya nyumbani. Lakini angalia anavyosota. TANZANIA KWA HALI HII TUTAFIKA KWELI.

Sunday 12 September 2010

MISS VODACOM TANZANIA 2010


Geneviev Emmanuel ndiye mshindi wa mwaka 2010 wa Miss Vodacom Tanzania.Ni kutoka Kitongoji cha Temeke. Fainali za mashindano hayo zilifanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Mlimani City-Mwenge DSM. Mshindi wa Pili alikuwa Glory Mwanga toka Arusha na wa Tatu ni Consolata Lukosi kutoka Ilala

NAWATAKEINI NYOTE J'PILI NJEMA KWA TASWIRA HII

Wednesday 8 September 2010

JAMANI, POLE MAIMATHA


P Diddy (Perfect Kasiga) afariki dunia ghafla maeneo ya Lumumba Mnazi Mmoja baada ya kuanguka ghafla akiwa katika matemezi ya kawaida. Ni mchumba wa mtangazaji maarufu Maimatha wa Jesse

ENZI ZILE

MAMBO YA VODACOM MISS TANZANIA 2010



WAREMBO WAKIWA WAMEWABEBA WATOTO KATIKA HOSPITALI YA KISARAWE WALIKOENDA KUTOA MSAADA WA VYANDARUA

Monday 10 May 2010

BLUE MONDAY


Wiki imeanza, tuanze tena pilikapilika za kuboresha maisha. Nawatakieni nyote Jmatatu njema na wiki yenye mafanikio

Sunday 9 May 2010

JUMAPILI NJEMA

Jumapili ni siku ya mapumziko na kupanga mikakati mipya kwa ajili ya wiki inayoanza. Kwa walio jijini kama Dar-es-Salaam wanaanza tena kufikiria mikiki mikiki ya foleni asubuhi na mvua zenye adha. Lakini yote tumshukuru mungu maana ametupa uhali na tusonge mbele kwa jitihada "to make life better"

Wednesday 5 May 2010

HODI TENA WADAU

Wapendwa sana wadau wa Blog hii, nawasalimu na kuwashukuruni kwa uvumilivu wenu kwa kipindi chote ambacho nilishindwa kuwa hewani. Ni mambo mengi ila namshukuru Mungu yameisha salama na sasa naweza tena kuwa hewani kama ilivyokuwa hapo awali. Karibuni sana
.

Friday 1 January 2010

HERI YA MWAKA MPYA 2010

Nawatakieni kheri ya mwaka mpya 2010 wadau waheshimika. Nawaombeeni ili mwaka huu tuuanze vyema na tuendelee kujitahidi katika kila jema tuwazalo kulitenda tupate mafanikio siku hadi siku.
Hongereni sana kwa kuuona mwaka mpya.