Friday 27 June 2014

WEEKEND NJEMA WADAU

Mwisho wa juma umewadia, nawapa pole kwa majukumu mbalimbali ya kujenga Taifa,familia na pilika zote za kutafuta maisha bora. Ila ni muhimu kuwa makini namna tunavyotumia weekend zetu hasa ukizingatia hii imekuja mwishoni mwa mwezi pia.
Kwa staili hii ya unywaji, tutafika kweli???

No comments:

Post a Comment

Maoni yako