Saturday 28 June 2014

LIKE FATHER ,LIKE SON

Ukweli huu unamhusu Raisi wa Kenya Mhe.Uhuru Kenyata. Kweli uraisi upo kwenye damu kwakuwa waswahili wanasema "Ukiona vyaelea,vimeundwa"

Mzee Jomo Kenyatta akiwa na mtoto wake ambae ni Uhuru Kenyatta enzi hizo za utoto, unaweza kushea hii picha na wenzako waone... (picha kutoka Nation Media)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako