Friday 27 June 2014

UZALENDO WA KWELI

Jana Timu ya Taifa ua USA ilicheza na Ujerumani katika kufuzu 16 bora za Kombe la Dunia huko Brazili. Raisi wa Marekani Mhe. Barack Obama akiwa safarini ndani ya ndege yake AIR FORCE ONE nae alifuatilia pambano hilo ambapo Marekani na Ujerumani zote zilifanikiwa kuingia 16 bora
Mhe.Raisi Barack Obama na cabinet yake ndani ya AIR FORCE ONE wakitazama kabumbu
Kocha wa Timu ya Taifa ya Marekani aliamua kuandika barua hii kuwaomba viongozi mbalimbali waipe support timu hiyo
Gavana wa New York alijibu kwa kumhakikishia kocha huyo kwamba atawaongezea wafanyakazi wake muda wa ziada wa pumziko mchana ili waweze kuishangilia timu yao

No comments:

Post a Comment

Maoni yako