Saturday 21 June 2014

AHADI YA KIZALENDO YA MHE.RAIS JAKAYA KIKWETE

Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete amesema atajitolea kurudi kufundisha katika Chuo cha Taifa cha Ulinzi baada ya kumaliza awamu yake ya Uongozi katika nchi kama Raisi. Ameyasema hayo jana katika mdahalo wa Wahadhiri na wanafunzi wa Chuo hicho huko Kunduchi Dar es Salaam. Itakumbukwa mhe Raisi alikuwa akifundisha katika Chuo cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania huko Monduli kipindi fulani.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako