Saturday 14 June 2014

BAJETI YALETA KIZAAZAA

Leo ni siku ya mapumziko kwa walio wengi na hata wale walioenda kazini, kazi ni nusu siku. Kwa wengi wanaitumia kufanya usafi zaidi majumbani mwao, kufanya manunuzi na mengine kama hayo. Lakini kwa Bajeti ilivyotangazwa juzi, hali majumbani mwa watu wengine ipo hivi......

No comments:

Post a Comment

Maoni yako