Wednesday 25 June 2014

NIGERIA WAINGIA 16 BORA KOMBE LA DUNIA

Timu ya kwanza kutoka Afrika kutinga 16 bora ya Kombe ya Dunia mwaka huu,Nigeria imepata nafasi hiyo katika mechi ilomalizika hivi punde dhidi ya Argentina japo wamefungwa mabao 3-2
Wachezaji wa Nigeria wakishangilia baada ya kufunga moja ya magoli yao leo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako