Ila kwa mwenzetu huyu pamoja na kwamba yupo njiani katika kuwajibika, bado kalala tena isivyo salama kabisa. Hapo inawezekana kabisa akaamkia hospitali. Pamoja na uwajibikaji wetu wa kusaka maisha, pia ni vizuri kuwa makini maana uhai wetu hauna spea.
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
30 minutes ago
Duh! kazi ipo yaani kajianfaa kweli mpaka na godoro:-)
ReplyDelete