Sunday 22 June 2014

WAJERUMANI NGUVU SAWA NA GHANA

Katika mechi iliyomalizika hivi punde, timu za Ujerumani na Ghana zimetoka droo kwa kufungana goli 2.
Mechi hiyo ya kusisimua ambayo kila moja ilikuwa na wachezaji ndugu Kevin Prince Boateng wa Ghana na Jerome Boateng wa Ujerumani, ilipata mabao yote katika kipindi cha pili.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako