Friday 27 June 2014

TBC 1 WAPEWA GARI LA KISASA LA KURUSHIA MATANGAZO KUTOKA CHINA


Gari la kisasa la kurushia matangazo ya moja kwa moja lililokabidhiwa kwa TBC likiwa katika viwanja vya Shirika hilo Mikocheni jijini Dar es Salaam
Sehemu ya ndani ya gari hilo ambapo kuna stesheni nzima ya urushaji wa matangazo  moja kwa moja kama vile kutoka TBC1 Mikocheni.

Msafara wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yunchao ukiwasili katika Viwanja vya Ofisi za Shirika la Taifa la Utangazaji (TBC) alipotembelea kwa ajili ya hafla ya Kukabidhi na kuzindua gari la kurushia matangazo (OB Van) lililotolewa kwa Msaada wa Serikali ya China jana jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako