Thursday 19 June 2014

TAARIFA MUHIMU KUTOKA DART SEHEMU YA BARABARA MATAA UBUNGO KUFUNGWA KESHO KUPISHA UJENZI


Sehemu ya Barabara katika makutano ya Mandela na Morogoro sehemu ya Ubungo Mataa, itakufungwa kuanzia kesho usiku hadi Jumamosi asubuhi kupisha ujenzi wa barabara ya Mabasi yaendayo haraka. Wananchi waombwa kufuatilia maelekezo na wanaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza

No comments:

Post a Comment

Maoni yako