Friday 20 June 2014

ENGLAND BYE BYE FIFA

Katika mechi ya jana, England imechapwa bao 2 kwa 1 na Uruguay. Kwa maana hiyo Uingereza haina point hata moja na hivyo kuzaaga mashindani baada ya mechi moja itakayofuata.
Suarez akiifungia Uruguay moja ya magoli yao

No comments:

Post a Comment

Maoni yako