Monday 9 June 2014

VIONGOZI MPO WAPI?????

Wakati sehemu nyingi za nchi wanalalamika upungufu wa vyumba vya madarasa katika shule mbalimbali, hawa wenzetu sehemu fulani mikoa ya Kaskazini wamegeuza darasa kuwa Stoo ya kuni. Je hii ni sahihi?

No comments:

Post a Comment

Maoni yako