Thursday 19 June 2014

HISPANIA YABANWA VIBAYA FIFA HII

Mabingwa watetezi wa Kombe la Dunia, Timu ya Hispania, leo tena imechapwa na CHILE magoli 2 bila katika mechi iliyomalizika hivi punde
Hii ndiyo timu ya Chile iliyowaangamiza Hispania
Golikipa wa Hispania Casilas akiwa amejishika kuno kutokujua afanye nini baada ya mchezaji wa Chile kufunga goli.
Shabiki akionyesha maandishi yenye maana "Kwaheri Hispania" maana matumaini ya timu hiyo kuendelea ni madogo. Mpaka sasa timu hiyo imefungwa mechi zote na haina pointi hata moja


No comments:

Post a Comment

Maoni yako