Saturday 28 June 2014

KUANGUKA KWA ELIMU NCHINI HUANZA HIVI

Japo si lazima kuwa hivyo, lakini kwa kiasi fulani upanishaji wa ada vyuoni husababisha wale wenye uwezo kifedha kumudu masomo na wale wasio na uwezo kifedha hata kama wana uwezo mkubwa kiakili na ki-tunu kuwa waalimu bora baadae hushindwa. Hii inapelekea kujikuta mashuleni kunazidi kuwa na upungufu wa walimu na kutofaulu vizuri kwa wanafunzi kunaendelea. Ni vyema Wizara husika iliangalie hili.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako