Saturday 28 June 2014

BRAZIL WATINGA ROBO FAINALI

Timu ya Taifa ya Brazili imefuzu kuingia robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuitoa Chile kwa Penalt 3-2. Bao la ushindi la penalt lilifungwa na mchezaji maarufu wa Brazili Neymar Jr.
Wachezaji wakifurahia ushindi wao
Mlinda mlango wa Brazil Julio Cesar akiokoa moja ya hatari langoni mwake. Kipa huyu pia amezuia penalt 2 za Chile leo.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako