Wednesday 25 June 2014

MWL.NYERERE FOUNDATION SQUARE KUJENGWA

Serikali ya China ikishirikiana na Serikali ya Tanzania wamezindua jiwe la Msingi la jengo jipya litakalojengwa kwa gharama ya zaidi ya dola milioni 77. Jengo hilo litakalojulikana kama Mwl.Nyerere Foundation Square litaleta mandhari nzuri jijini Dar na kuwa kivutio kwa mengi ikiwemo Utalii.
Mwonekano wa Jengo hilo litakapokamilika
Makamu wa Raisi wa China,Mheshimiwa Li Yuanchao na Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe,Mizengo Pinda wakimwaga mchana kuashiria kianza rasmi kwa ujenzi wa jengo hilo
Mama Maria Nyerere akiwasili katika sherehe za uzinduzi wa jengo hilo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako