Saturday 21 June 2014

AJALI MAKONGO

Kuna ajali imetokea eneo la Makongo nje kidogo ya Mwenge Dar likihusisha Daladala ya abiria (Makumbusho-Kunduchi) na lorry.Inasemekana watu zaidi ya 10 wamepoteza maisha. 


**Picha za magari yalohusika na ajali hiyo kwa hisani ya Dj Sek Blog**


No comments:

Post a Comment

Maoni yako