Saturday 4 April 2015

WANAMEREMETA> Mhe.REGINALD MENGI NA JACQUELINE MISS TZ 2000

Baada ya Kupata watoto mapacha wa kiume na kuwa katika mahusiano kwa muda, Mhe Reginald Mengi ameamua kuweka vitu hadharani kwa kufunga ndoa na mwandani wake Bi.Jacqueline, ndoa inayosemekana kufungwa huko Mauritius. Jionee picha hapa kwa hisani ya Bongo5

No comments:

Post a Comment

Maoni yako