Baada ya Kupata watoto mapacha wa kiume na kuwa katika mahusiano kwa muda, Mhe Reginald Mengi ameamua kuweka vitu hadharani kwa kufunga ndoa na mwandani wake Bi.Jacqueline, ndoa inayosemekana kufungwa huko Mauritius. Jionee picha hapa kwa hisani ya Bongo5
Wanawake Kupata Hati Miliki Kupitia Samia Ardhi Kliniki
34 minutes ago



No comments:
Post a Comment
Maoni yako