Sunday 12 April 2015

HABARI NJEMA: TRENI MPYA YA DELUXE KUELEKEA MWANZA LEO JPILI

Shirika la Reli nchini TRL linafurahi kuwajulia wananchi wote kuwa leo tar 12.April ile treni mpya yenye mabehewa mapya ijulikanayo kama DELUXE itaaondoka Dar kuelekea Mwanza baada ya kuzinduliwa rasmi na Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi Mhe. Shaaban Mwinjaka. Hii ni ya pili baada ya ile iendayo Kigoma kuzinduliwa na kufanya safari yake.
Treni hii mpya inachukua nafasi ya zile za zamani kama hii hapa chini

No comments:

Post a Comment

Maoni yako