Familia moja nchini India imepata wakati mgumu kufuatia watoto wao kuwa na maumbo makubwa kupita umri na kimo chao.
Wazazi wao wamesema wamekuwa wakipata wakati mgumu wa kuwahudumia watoto hao chakula kutokana na kula chakula kingi, kwa wiki wanakula chakula kinachotosha kuliwa na familia mbili kwa mwezi mzima
HALI YA USALAMA JIONI HII NOVEMBA 10, 2025
48 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako