Friday 17 April 2015

CHAKULA MUHIMU LAKINI KULA KWINGINE MTIHANI

Familia moja nchini India imepata wakati mgumu kufuatia watoto wao kuwa na maumbo makubwa kupita umri na kimo chao.
Wazazi wao wamesema wamekuwa wakipata wakati mgumu wa kuwahudumia watoto hao chakula kutokana na kula chakula kingi, kwa wiki wanakula chakula kinachotosha kuliwa na familia mbili kwa mwezi mzima

No comments:

Post a Comment

Maoni yako