Monday 27 April 2015

TETEMEKO LA ARDHI HUKO NEPAL LAUA ZAIDI YA 4,000

watu wanaokadiriwa 4,000wamefariki dunia kufuatia tetemeko la ardhi huko nchini Nepal.Maeneno mbalimbali ya Makumbusho katika Mji wa Kathmandu yameharibiwa kabisa

1 comment:

Maoni yako