Meneja Mkuu wa Fastjet Afrika Mashariki Mhe. Jimmy Kibati akikata keki kuashiria uzinduzi wa Safari za ndege ya Fastjet katiya Kilimanjaro (KIA) na Entebbe Uganda. Uzinduzi huu ulifanyika wiki ilopita katika Uwanja wa Ndege wa Entebbe nchini Uganda. Hii ni katika kukuza huduma za anga Afrika Mashariki.
HALI YA USALAMA JIONI HII NOVEMBA 10, 2025
44 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako