Soda zetu ambapo miaka ya 80 zilizkuwa zinauzwa kati ya sh.12 na 20 kwa chupa
Usafiri wetu ambapo kutoka Arusha kwenda Dar es Salaam mnalala njiani hata siku 2 kwa baadhi ya mabasi hayo
Stempu zetu ambapo wakati huo salamu zilikuwa zatumwa kwa barua. Ukiandika barua leo ukisema naumwa inamfikia mlendwa ukiwa tayari ushapona au labda haupo tena. Tofauti na sasa mambo ya simu, whatsapp,ujumbe mfupi nk
HALI YA USALAMA JIONI HII NOVEMBA 10, 2025
44 minutes ago



No comments:
Post a Comment
Maoni yako