Sunday 19 April 2015

TULIKOTOKA NI MBALI

Soda zetu ambapo miaka ya 80 zilizkuwa zinauzwa kati ya sh.12 na 20 kwa chupa
Usafiri wetu ambapo kutoka Arusha kwenda Dar es Salaam mnalala njiani hata siku 2 kwa baadhi ya mabasi hayo
Stempu zetu ambapo wakati huo salamu zilikuwa zatumwa kwa barua. Ukiandika barua leo ukisema naumwa inamfikia mlendwa ukiwa tayari ushapona au labda haupo tena. Tofauti na sasa mambo ya simu, whatsapp,ujumbe mfupi nk

No comments:

Post a Comment

Maoni yako