Kutokana na tafiti mbalimbali zilizofanywa hapa nchini na baadhi ya taasisi za utafiti, Mh. Edward Lowassa amekuwa akitajwa kama mwanasiasa anayeongoza kwa kukubalika zaidi kwa mujibu wa hizo tafiti zao.
Je, kwa mtazamo wako wewe, kweli anafaa kuwa Rais?
TFS WACHANGIA MIL.20 KWA WENYE MAAFA KIBITI NARUFIJI
17 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako