Sunday 19 April 2015

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU.....

Kutokana na tafiti mbalimbali zilizofanywa hapa nchini na baadhi ya taasisi za utafiti, Mh. Edward Lowassa amekuwa akitajwa kama mwanasiasa anayeongoza kwa kukubalika zaidi kwa mujibu wa hizo tafiti zao.
Je, kwa mtazamo wako wewe, kweli anafaa kuwa Rais?

No comments:

Post a Comment

Maoni yako