Mbunge wa Hai,Mhe.Freeman Mbowe ametoa msaada wa magari mawili ya kubebea wagonjwa (AMBULANCE) kwa Hospitali za Hai na Machame katika Jimbo lake la Uchaguzi
Taswira ya magari hayo ndani na nje
Mhe. Mbowe akiongea machache kwa wananchi wa Hai kuhusu msaada huo
WANAKWAYA SITA WAFARIKI DUNIA WAKIENDA KUINJILISHA INJILI..
43 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako