Thursday 23 April 2015

KUSINI MWA TANZANIA KUANZA KUNEEMEKA NA MIRADI YA DANGOTE


Msafara kutoka kijiji cha Mgao atakako jenga Bandari
Ndege ya Alhaji Dangote katika Uwanja wa Ndege Mtwara baada ya kutua alipokuwa naenda kutembelea eneo la fukwe atakakojenga Bandari.
Kiwanda cha Saruji cha Dangote kinachoendelea kujengwa

Mfanyabiashara maarufu Afrika, ambaye ni Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote Group of Industries, Alhaji Aliko Dabgote akinyoosha mkono kuangalia eneo la ufukwe wa Bahari ya Hindi katika Kijiji cha Mgao, Kata ya Maumbu, Tarafa ya Mayanga, Mtwara Vijijini, ambapo atajenga bandari yake ya kisasa kwa ajili kusafirisha saruji itakayozalishwa kwenye kiwanda chake kikubwa kinachojengwa katika Kijiji cha Msijute.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA WA KAMANDA WA MATUKIO BLOG

No comments:

Post a Comment

Maoni yako