Friday 17 April 2015

AJALI NYINGINE MBEYA LEO

Watu 19 wamefariki dunia baada ya Hiace waliokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka maeneo ya Kiwira wilayani Rungwe Mkoani Mbeya.Ajali hii inafuatia madereva wa mabasi makubwa kugoma kusafirisha abiria na Hiace kuchukua jkumu. Dreva wa basi hili dogo alikuwa kwenye mwendo mkali na kushindwa kulimudu kisha kupinduka na kutumbukia mtoni. Mwenyezi Mungu awaweke marehemu wote palipo pema AMINA.(Tunaomba radhi kwa Picha.)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako