Watu 19 wamefariki dunia baada ya Hiace waliokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka maeneo ya Kiwira wilayani Rungwe Mkoani Mbeya.Ajali hii inafuatia madereva wa mabasi makubwa kugoma kusafirisha abiria na Hiace kuchukua jkumu. Dreva wa basi hili dogo alikuwa kwenye mwendo mkali na kushindwa kulimudu kisha kupinduka na kutumbukia mtoni. Mwenyezi Mungu awaweke marehemu wote palipo pema AMINA.(Tunaomba radhi kwa Picha.)
HALI YA USALAMA JIONI HII NOVEMBA 10, 2025
44 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako