Saturday 18 April 2015

MADEREVA KUWENI MAKINI MTATUMALIZA

Imekuwa ni wimbo sasa kila kukicha watu wanapoteza maisha yao kwa ajali zinazoepukika. Kumekuwa na uzembe mwingi wa madereva barabarani. Tunawaomba wathamini utu na uhai wa kila mtu. Ajali nyingi zinaepukika tukiwa makini na kujali uhai.
Dreva huyu wa Basi la Taqwa yupo katika kona lakini analipita Lori la Mafuta. Hii ni hatari sana. Kwanini usiwe na subira?
Sehemu za kona kama hizi usilipite gari jingine (Donnot overtake)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako