Imekuwa tabia ya madreva wengi kudharau sheria za barabarani na hata matumizi ya busara wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto. Tazama picha hizi hapa chini kwa hisani ya Michuzi Blog.
Tusaidiane tudhibiti ajali. Toa taarifa uonapo ukiukwaji wa sheria za barabarani
MBUNGE WA MSALALA AKABIDHI BAISKELI KWA WENYEVITI WA VIJIJI
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako