Thursday 16 April 2015

KWA MTINDO HUU AJALI HAZIEPUKIKI

Imekuwa tabia ya madreva wengi kudharau sheria za barabarani na hata matumizi ya busara wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto. Tazama picha hizi hapa chini kwa hisani ya Michuzi Blog.
Tusaidiane tudhibiti ajali. Toa taarifa uonapo ukiukwaji wa sheria za barabarani

No comments:

Post a Comment

Maoni yako