Friday 17 April 2015

AFRIKA KUSINI HALI SI SHWARI

Kwa siku kadhaa sasa hali imekuwa si shwari nchini Afrika Kusini kufuatia mapigano ya kupinga wahamiaji nchini humo. Wakazi wa zehemu mbali mbali nchini humo wamekuwa wakiua wahamiaji, kuchoma nyumba na mali zao mbalimbali wakipinga uwepo wao nchini humo. Hili limetia dosari maana ni Waafrika wanawaua waafrika wenzao.
Askari wakiweka lindo katika eneo la machafuko
Raia wakikimbia bomu la machozi

No comments:

Post a Comment

Maoni yako