Thursday 26 March 2015

UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA YAKO NA YA JAMII

Pamoja na kwamba baadhi ya watu wamejiingiza katika uvutaji wa sigara kama mojawapo ya starehe zao, lakini utafiti wa kitaalamu unaonyesha kuwa Uvutaji wa sigari ni hatari kwa afya yako (Huaribu mapafu) pia ni hatari kwa jamii inayokuzunguka. Ni muhimu kuchukua hatua za kuacha. Serikali inaongeza juhudi za kuzuia uvutaji wa sigara katika mikusanyiko ya watu/hadharani (Public areas)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako