Tuesday 24 March 2015

KERO YA MVUA ZAINAZONYESHA JIJINI DAR NA KWINGINEKO NCHINI

(Picha ya juu kwa hisani ya Global Publishers)
HALI ni tete katika jiji la Dar es Salaam, kutokana na mvua ya masika iliyonyeshwa kwa siku tatu na kusababisha vifo vya watu watano, huku nyumba nyingi zikiwa zimezingirwa na maji. Maeneo yaliyoathirika zaidi ni Buguruni kwa Mnyamani na eneo la Jangwani katika Manispaa ya Ilala, ambako nyumba nyingi na barabara zimeathirika.
Sehemu nyingi na barabara nyingi zinapitika kwa taabu
Mto msimbazi nao umefurika
Maeneo mengi utata mtupu

No comments:

Post a Comment

Maoni yako