Tuesday 31 March 2015

UCHAGUZI WA RAIS NIGERIA: Muhammadu Buhari AONYESHA KUONGOZA KURA

Wananchi wa nchi ya Nigeria wamepiga kura jumamosi na jpili wiki ilopita kumchagua raisi wa nchi yao. Waliokuwa na uvutano mgumu ni Rais wa sasa Goodluck Jonathan na mpinzani wake Muhammadu Buhari. Mpaka sasa matokeo ya awali yanaonyesha Mhe. Muhammadu Buhari "ex soldier" anaongoza.
Mhe. Muhammadu Buhari anayechukua nafasi kubwa kushinda uchaguzi wa Uraisi Nigeria

No comments:

Post a Comment

Maoni yako