Unapompa mtu lift kwenye gari lako ni kitendo cha huruma na kawaida ukarimu wa kitanzania, lakini uwe makini kuangali kama abiria wako uliyempa lift amefunga mkanda vizuri, wengine hawajui na hivyo unapomwambia "Funga mkanda" unaeza shangaa mtu amejinyonga ukapata "murder case bure"
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
34 minutes ago
Duh kaaaaazi kwelikweli!!
ReplyDeleteNakwambia, si mchezo dada Yasinta
ReplyDelete